عناصر مشابهة

Uundaji wa Kauli ya Kutendwa Katika Lugha ya Kiswahili na ya Kiarabu

تفصيل البيانات البيبلوغرافية
العنوان بلغة أخرى:بناء المبني للمجهول في اللغة السواحيلية واللغة العربية
المصدر:مجلة جامعة سبها للعلوم الإنسانية
الناشر: جامعة سبها
المؤلف الرئيسي: لحميدي، إبراهيم الهادي محمد (مؤلف)
المجلد/العدد:مج21, ع2
محكمة:نعم
الدولة:ليبيا
التاريخ الميلادي:2022
الصفحات:44 - 50
رقم MD:1320865
نوع المحتوى: بحوث ومقالات
اللغة:Unknown
قواعد المعلومات:HumanIndex
مواضيع:
رابط المحتوى:
الوصف
المستخلص:يهدف هذا البحث إلى تحليل ودراسة بناء المبني للمجهول في اللغة السواحيلية واللغة العربية وقد لاحظ الباحث من خلال تدريسه لمادة الصرف لطلاب اللغة السواحيلية بقسم اللغات الأفريقية بجامعة سبها لفترة طويلة لاحظ أن كثيرا من الطلاب يواجهون بعض المشاكل والصعوبات في فهم كيفية بناء الأفعال في اللغة السواحيلية، حيث أن الباحث يميل إلى فرضية أن الاختلاف بين اللغتين في كيفية صياغة المبني للمجهول هي أحد الأسباب في وجود بعض هذه المشاكل والصعوبات. عليه فقد قام الباحث بدراسة كيفية تحويل الأفعال إلى المبني للمجهول، ومن بعد ذلك استخدامها في جمل حتى يتسنى للطالب معرفة الكيفية والقوانين التي تم بها صياغة المبني للمجهول في كلتا اللغتين السواحيلية والعربية. وتجدر الإشارة هنا إلى أن هذا البحث يعد البحث الأول من نوعه من حيث أنه يتناول شرح كيفية بناء المبني للمجهول في اللغة العربية باللغة السواحيلية بالإضافة إلى أنه يجمع في شرحه بناء المبني للمجهول في اللغة السواحيلية والعربية في البحث نفسه. سيكون هذا البحث أن شاء الله ذا قيمة ليس فقط للطلاب العرب الدارسين للغة السواحيلية بل وحتى الطلاب السواحيليون الذين يتعلمون اللغة العربية. وكذلك فأن هذا البحث يساعد في معرفة كيفية بناء المبني للمجهول في اللغة العربية، وأوجه الاختلاف مع اللغة السواحيلية. وليس هذا فحسب بل أن الفائدة ستكون حتى للمدرسين والبحاث في كلتا اللغتين.

Utafiti huu unalenga kuchanganua na kuchunguza uundaji wa kauli ya kutendwa katika lugha ya Kiswahili na lugha ya Kiarabu, na mtafiti kutokana na ufundishaji wake wa kozi za sarufi kwa wanafunzi wanaojifunza lugha Kiswahili katika Idara ya lugha na Taaluma za Kiafrika katika Chuo Kikuu cha Sebha kwa muda mrefu, mtafiti aliona kuwa kuna wanafunzi wengi wanakumbana na matatizo mengi na ugumu wa kuelewa jinsi na kanuni za uundaji wa vitenzi katika lugha ya Kiswahili. Kwa kuwa mtafiti anaelekea kwenye dhana kwamba tofauti kati ya lugha hizo mbili katika jinsi na kanuni za uundaji wa kauli ya kutendwa ni sababu mojawapo ya kuwepo kwa baadhi ya matatizo na ugumu. Kwa hivyo, mtafiti alichunguza jinsi ya kubadilisha vitenzi kuwa katika kauli ya kutendwa kisha kuvitumia katika sentensi ili mwanafunzi ajue jinsi na kanuni za uundaji wa kauli ya kutendwa katika lugha zote mbili Kiswahili na Kiarabu. Ifahamike hapa kuwa utafiti huu unachukuliwa kuwa wa kwanza wa aina yake kwa kuwa ulishughulikia maelezo ya jinsi ya kuunda kauli ya kutendwa katika lugha ya Kiarabu kwa lugha ya Kiswahili, pamoja na kwamba unachanganya katika kueleza uundaji wa kauli ya kutendwa katika Kiswahili na Kiarabu katika utafiti huo huo. Mwenyezi Mungu akipenda, utafiti huu utakuwa wa thamani si tu kwa wanafunzi wa Kiarabu wanaojifunza lugha ya Kiswahili, bali pia kwa wanafunzi wa Kiswahili wanaojifunza Kiarabu. Pia, utafiti huu utawasaidia katika kujua jinsi ya kuunda kauli ya kutendwa katika lugha ya Kiarabu na tofauti na lugha ya Kiswahili. Isitoshe, bali faida itakuwa hata kwa walimu na watafiti wa lugha zote mbili.